Baadhi ya
wakulima wa zao la Mahindi mkoani Ruvuma, wamelalamikia utaratibu wa Serikali
wa kununua mahindi ya wakulima kiasi cha Tani Moja tu kwa kila Mkulima sawa na
gunia Kumi na kwamba kiasi hicho ni kidogo mno ikilinganishwa na idadi kubwa ya
mahindi waliyozalisha katika msimu huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...