Wananchi wa Zambia wakiwa kwenye foleni ya kuingia kwenye Uwanja wa Mashujaa Jijini Lusaka tayari kwa Shamrashamra za kuapishwa Rais Edgar Lungu wa nchini hiyo muda huu. Makamu wa Rais, Mh. Samira Suluhu Hassan atamwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Sherehe hiyo.
Wengi wajitokeza kushuhudia Rais wao akiapishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...