Meneja
Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(wanne kulia) akifafanua jambo kwa washiriki wa shindano la Dance 100%
2016 wakati walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania zilizopo Mlimani City jijini Dar es Salaam,
kwa ajili ya kujifunza na kujionea huduma
mbalimbali za mawasiliano zinazofanywa na kampuni. Washiriki hao
walipata nafasi ya kupewa nasaha na
baadhi ya wafanyakazi iliwaweze kujituma wakati wa fainali itakayofanyika tarehe 24 mwezi huu
kwenye viwanja vya Don bosco Oysterbay
jijini Dar es Salaam, Mshindi wa shindano hilo ataondoka na kitita cha
shilingi Milioni 7. Shindano hilo linaandaliwa na EATV na kudhaminiwa na
Vodacom Tanzania na Coco-Cola.
Washiriki wa shindano la Dance 100% 2016 wakimsikiliza Meneja wa Huduma kwa
wateja wa Vodacom Tanzania,Msamo Willnevilline(kulia) alipotembelea makao makuu
ya kampuni hiyo Mlimani City jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza na
kujionea huduma mbalimbali za
mawasiliano zinazotolewa na kampuni hiyo na kupewa nasaha na baadhi ya
wafanyakazi ili waweze kujituma wakati wa
fainali itakayofanyika tarehe 24 mwezi huu kwenye viwanja vya Don bosco
Oysterbay jijini Dar es Salaam, Mshindi
wa shindano hilo ataondoka na kitita cha shilingi Milioni 7. Shindano hilo
linaandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Coco-Cola, watatu kutoka
kuliani Meneja Msaidizi wa Chapa ya Coca-cola, Mariam
Sezinga.
Mmoja
wa washiriki wa shindano la Dance 100%
2016,akionyesha umahiri wa kucheza wakati washiriki hao walipotembelea
makao makuu ya Vodacom Tanzania Mlimani City jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya
kujifunza na kujionea huduma mbalimbali
za mawasiliano zinazotolewa na kampuni hiyo na kupewa nasaha na baadhi ya
wafanyakazi kuelekea fainali itakayofanyika tarehe 24 mwezi huu kwenye viwanja
vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es
Salaam, Mshindi wa shindano hilo ataondoka na kitita cha shilingi Milioni 7.
Shindano hilo linaandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na
Coco-Cola.
Meneja Msaidizi wa Chapa ya Coca-cola, Mariam
Sezinga(katikati)akiwa na washiriki wa shindano la Dance 100% 2016,wakati
walipotembelea makao makuu ya Vodacom Tanzania Mlimani City jijini Dar
es Salaam, kwa ajili ya kujifunza na kujionea huduma mbalimbali za mawasiliano zinazotolewa na
kampuni hiyo na kupewa nasaha na baadhi ya wafanyakazi kuelekea fainali
itakayofanyika tarehe 24 mwezi huu kwenye viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam, Mshindi wa shindano
hilo ataondoka na kitita cha shilingi Milioni 7. Shindano hilo linaandaliwa na
EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania na Coco-Cola
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...