Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali mstaafu Salum Mustafa Kijuu akipokea
msaada wa Mabati, kutoka kwa Balozi wa Kenya Bw. Chirau Ali Mwakwere kwa ajili ya
waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera.Kushoto ni Waziri wa Nchi Waziri wa
Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana Ajira na Walemavu, Jenista
Mhagama.Serikali ya Kenya imekabidhi mabati 4000,blanketi 400 na magodoro 100.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali mstaafu Salum Mustafa Kijuu akipokea
msaada wa mablanketi kutoka kwa Balozi wa Kenya Bw. Chirau Ali Mwakwere.
Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana
Ajira na Walemavu,Mhe. Jenista Mhagama.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali mstaafu Salum Mustafa Kijuu
akipokea msaada wa magodoro kutoka kwa Balozi wa Kenya Bw. Chirau Ali
Mwakwere. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,
Vijana Ajira na Walemavu,Mhe. Jenista Mhagama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...