Wananchi kutoka maeneo mbalimbali wakiwa wamekusanyika kwenye eneo linakotarajiwa kutokea tukio adhimu la kupatwa kwa Jua tayari kwa kushuhudia tukio hilo, ambalo litaonekana vizuri kwenye eneo hilo lililopo Rujewa, Mbalali Mkoani Mbeya kuda wowote kutokea sasa. Globu ya Jamii imeweka kambi katika eneo hilo, na itakuletea kila kilichojiri huko kupitia hapa hapa Libenekeni. hivyo usicheze mbali.
Watu wakiwa tayari tayari kushuhudia tukio hilo.
Mabanda ya Makampuni mbalimbali ya Utalii yakiwa tayari kutoa huduma hiyo.
Kina mama ntilie nao hawachezi mbali na eneo la tukio, kwani watu wengi huitaji huduma yao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...