SIMU.tv: Serikali inampango gani wa kutatua changamoto katika vyama vya ushirika wilaya ya Karagwe? Naibu waziri  Antony Mavunde anatoa ufafanuzi.https://youtu.be/sDFyQYjoiaM.

 SIMU.tv: Serikali yatolea  ufafanuzi juu ya kuzisaidia hospitali zinazomilikwa na taasisi za dini ili kuziwesha kutoa huduma bora za afya kwa jamii;https://youtu.be/ootCiuZuO2s
 SIMU.tv: Serikali inampango gani wa kutatua shida ya maji wilayani Bagamoyo? Naibu waziri wa maji Mhe.Isack Kamwelwe anajibu swali la Mhe.Kawambwa;https://youtu.be/0Jzm1N6FQ60
 SIMU.tv: Serikali inamkakati wa kuiwezesha TRA kupata rekodi za moja kwa moja kutoka kwa wafanyabiashara? Naibu waziri Ashatu Kijaji anafafanua.https://youtu.be/WIObrtoO74c
 SIMU.tv: Hii hapa kauli ya serikali kuhusu vigezo inavyotumia kutoa mikopo kwa vyama vya  ushirika pamoja na Vicoba; https://youtu.be/_Irp-ehjY6E
 SIMU.tv: Je,Serikali inampango wa kuwamilikisha ardhi wakazi wa Nachingwea? Naibu waziri wa ardhi Mhe.Mabula akijibu swali la Mhe.Masala;https://youtu.be/abDHp4qkgs4
 SIMU.tv: Je, serikali inampango gani wa kuweka sheria kali kwa watu wanaohusika kuwanyanyasa watoto? Haya hapa ni maelezo ya serikali. https://youtu.be/HDCpoL-reJI
 SIMU.tv: Fahamu kauli ya serikali kuhusu kuboresha miundombinu ya mawasiliano katika vijiji vya Kichelu, kiasi na Mbwela. https://youtu.be/J6U8KgVgyY8

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...