SIMU.tv: Serikali inampango gani wa kutatua changamoto katika vyama vya ushirika wilaya ya Karagwe? Naibu waziri Antony Mavunde anatoa ufafanuzi.https://youtu.be/sDFyQYjoiaM.
SIMU.tv: Serikali yatolea ufafanuzi juu ya kuzisaidia hospitali zinazomilikwa na taasisi za dini ili kuziwesha kutoa huduma bora za afya kwa jamii;https://youtu.be/ootCiuZuO2s
SIMU.tv: Serikali inampango gani wa kutatua shida ya maji wilayani Bagamoyo? Naibu waziri wa maji Mhe.Isack Kamwelwe anajibu swali la Mhe.Kawambwa;https://youtu.be/0Jzm1N6FQ60
SIMU.tv: Serikali inamkakati wa kuiwezesha TRA kupata rekodi za moja kwa moja kutoka kwa wafanyabiashara? Naibu waziri Ashatu Kijaji anafafanua.https://youtu.be/WIObrtoO74c
SIMU.tv: Hii hapa kauli ya serikali kuhusu vigezo inavyotumia kutoa mikopo kwa vyama vya ushirika pamoja na Vicoba; https://youtu.be/_Irp-ehjY6E
SIMU.tv: Je,Serikali inampango wa kuwamilikisha ardhi wakazi wa Nachingwea? Naibu waziri wa ardhi Mhe.Mabula akijibu swali la Mhe.Masala;https://youtu.be/abDHp4qkgs4
SIMU.tv: Je, serikali inampango gani wa kuweka sheria kali kwa watu wanaohusika kuwanyanyasa watoto? Haya hapa ni maelezo ya serikali. https://youtu.be/HDCpoL-reJI
SIMU.tv: Fahamu kauli ya serikali kuhusu kuboresha miundombinu ya mawasiliano katika vijiji vya Kichelu, kiasi na Mbwela. https://youtu.be/J6U8KgVgyY8
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...