Ulinzi na usalama uliimalishwa  katika eneo la Kupatwa kwa jua Ludewa Mkoani Mbeya.
Wakazi wa Ludewa Mkoani Mbeya na Biashara mbalimbali wakifanya biashara ya Matikiti katika eneo la Ludewa Mkoani humo.
 Wananchi wakiwa wameegesha Baiskeli zao mara baada kuwasili eneo ambapo jua linaoneka vizuri ambapo limepatwa.
 Wafanyabiashara wakiwa na biashara zao.
 Wananchi wakiwa wamefurika eneo la tukio. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...