Mkuu wa wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza la DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi nchini,kulia ni Meneja Mradi wa British Council Tanzania Bi. Elizabeth Nkanda.
Mkuu wa wilaya ya Arusha,Mh.Gabriel Daqarro akizindua kitabu cha utafiti wa Sauti ya Kijana nchini Tanzania uliofanywa na taasisi ya British Council kupitia ufadhili wa Shirika la misaada la serikali ya Uingereza la DFID kuwezesha sauti za vijana kuwafikia watunga sera na watoa maamuzi nchini.
Mtaalamu wa sera za ufugaji Bi. Carolyn Kandusi akiongoza shughuli nzima iliyofanyika jijini Arusha.
Mkurugenzi wa Miradi wa taasisi ya British Council Tanzania, Bi. Nesia Mahenge akizungumza katika kongamano la Vijana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...