Kwa muda sasa kumekuwepo na usambazaji wa taarifa za upotoshaji zinazotolewa na
baadhi ya wanasiasa wakishirikiana na baadhi ya vyombo vya habari zinazolenga
kukejeli, kudhihaki, kukatisha tamaa, kubeza na kudhoofisha jitihada
zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi na Serikali zake katika kuleta maendeleo
kwa Watanzania.
Kumekuwepo na makala zinazoandikwa na magazeti mawili ya nje ambazo hutolewa
kila baada ya miezi miwili na ambazo zinapotosha na kuandika habari zisizo za kweli
kuhusu Tanzania.
Pia, yapo magazeti mawili ya ndani ambayo yamekuwa yakitoa makala mfululizo kwa
kila wiki zinazolenga kumchafua Mheshimiwa Rais na kuichafua taswira ya nchi
yetu. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...