Kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu kijiji cha Mgubike kiasi cha wananchi kugawanyika katika makundi na familia zikiwa haziongei. Mgogoro ulikuwa kati ya mwenyekiti aliyepita wa kijiji Bwana Msafiri Pamagila na Mwenyekiti wa sasa Bi Lenatha Mbilinyi. 
Mgogoro huo umekuwa unakwamisha shughuli za maendeleo kwa muda mrefu. Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela alifanikiwa kufuta tofauti zilizokuwepo kati ya makundi hayo mawili. Mzee maarufu alimshukuru Mkuu wa wilaya kwa kazi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...