Kukua kwa msitu wa saruji wa jiji la Dar es salaam kunaendelea kutokomeza nyumba zilizoezekwa na mabati maarufu kama  "Mbavu za Mbwa" zilizokuwa zinatawala maeneo ya Jangwani na Karianoo kama inavyoonesha picha hii ya drone iliyopigwa na Karim Michuzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankali ahsante sana kwa twasira ya nyumbani bongo tambarare
    heti nasikia hilo juma lenye langi njano na kijani kuna vyumba vinapangishwa mtu anaweza kupanga na kuishi na familia?
    Sisi wapwazo ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...