Diwani wa Kata ya Katesh Wilayani Hanang’ Mkoani Manyara, Peter Lowry akizungumza kwenye kikao cha Bazara la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Bryceson Kibasa, akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wakifuatilia kikao cha Baraza lao lililofanyika mji mdogo wa Katesh. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...