Diwani wa Kata ya
Katesh Wilayani Hanang’ Mkoani Manyara, Peter Lowry akizungumza kwenye kikao cha
Bazara la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya hiyo.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Bryceson Kibasa,
akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani.
Baadhi ya
madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wakifuatilia kikao
cha Baraza lao lililofanyika mji mdogo wa Katesh.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...