Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi, Mhe. Balozi Hassan Simba Yahya akisalimiana na mmoja wa wazazi alipowasili katika viwanja vya Shule ya Sekondari Bwawani kushiriki Mahafali ya 13 ya Shule hiyo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi, Mhe. Balozi Hassan Simba Yahya akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa Kidato cha nne katika Mahafali ya 13 ya Shule ya Sekondari Bwawani, Mkoani Pwani.
Kamishna Jenerali wa Magereza, CGP- John Casmir Minja akitoa maelezo mafupi kabla ya hotuba ya Mgeni rasmi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi, Mhe. Balozi Hassan Simba Yahya akitoa neno kwa wahitimu katika Mahafali ya 13 ya Shule ya Sekondari Bwawani, Mkoani Pwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...