.Mgeni Maalum,Masoud Kipanya akiwa na Rais wa Chama cha Wasanii na Wachongaji Tanzania (CHAWASAWATA), Bw. Adrian Nyangamalle,Mwenyekiti wa Chama cha Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangala wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo jana jioni katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

Mgeni Maalum,Masoud Kipanya akizungumza na wadau mbalimbali (hawapo pichani) katika hafla ya uzinduzi wa maonesho ya katuni na vibonzo jana jioni katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangala akizungumza juu ya hafla ya uzinduzi wa maonesho ya katuni na vibonzo jana jioni katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam Oktoba 20-2016.

Baadhi ya Wadau wakiafuatilia yaliyokuwa yakijiri ukumbini humo.
Ankal pichani Kati nae alikuwepo kushuhudia ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaa,Pichani kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wachoraji Katuni Tanzania,Nathan Mpangalaa akimueleza jambo Ankal Muhidin Michuzi kuhusiana na ufunguzi huo

Wadau mbalimbali wa Katuni wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi rasmi wa maonesho ya katuni na vibonzo jana jioni katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam OKTOBA 20-2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...