MWANAMUZIKI mkongwe ambaye alipata umaarufu kutokana na wimbo wake Salamu za Wagonjwa Marehemu Omari Kungubaya (pichani enzi zauhai wake) amezikwa leo katika makaburi ya kifamilia Njeteni Kwembe. Msiba huo ulihudhuria na watu wengi wakiwemo majirani, ndugu, wanamuziki na wapenzi wa muziki wa Mzee Kungubaya.Tatu itakuwa siku ya Jumamosi 22/10/2016.
Mwanamuziki Mjusi Shemboza akimfariji mmoja wa watoto wa marehemu Mzee Kungubaya
Jeneza likiwa na mwili wa marehemu Omari Kungubaya likitolewa nje tayari kwenda makaburiniKwa picha zaidi na Anko John Kitime BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...