Wadau wote mnakaribishwa katika maonesho ya sanaa za katuni (Cartoon) yatakayo funguliwa rasmi kesho tar 20 saa 11 jioni, Masoud Kipanya atashirikisha historia ya maisha yake katika sanaa, na tar 21 saa 1 hadi saa 3 usiku LUMUMBA THEATRE watafanya onesho la Muziki wa asili, Ngomba za asili na Sarakazi, katika ukumbi wa kisasa wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...