Ceccyleyer Godfrey ni msichana wa miaka 18, Ni Mwanamitindo wa kitanzania na ni mshiriki pekee anaeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss Teen - Heritage yatakayo fanyika huko nchini Sri Lanka. anaomba kura yako moja kila siku kupitia site maalumu ya shindano hilo ambayo ni hii:
ili kumuwezesha kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania. Kumbuka. kura moja kila siku.
Asante.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...