Ceccyleyer Godfrey ni msichana wa miaka 18, Ni Mwanamitindo wa kitanzania na ni mshiriki pekee anaeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss Teen - Heritage yatakayo fanyika huko nchini Sri Lanka. anaomba kura yako moja kila siku kupitia site maalumu ya shindano hilo ambayo ni hii: 


ili kumuwezesha kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania. Kumbuka. kura moja kila siku. 
Asante.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...