Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) akiongoza kikao
kilichoshirikisha kampuni zinazohusika na usambazaji wa gesi majumbani pamoja na
watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za
Nishati na Maji (EWURA), Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mamlaka
ya Udhibiti wa Shughuli za Mkondo wa Juu wa Mafuta (PURA) na Wakala wa Uagizaji
wa Mafuta kwa pamoja nchini (PBPA).
Watendaji kutoka kampuni zinazohusika na usambazaji wa gesi majumbani
wakifuatilia maelekezo yaliyokuwa yanatolewa na Waziri wa Nishati na Madini,
Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani).
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akisisitiza jambo katika kikao
hicho.
Mkurugenzi Mtendaji kutoka Tanzania Association of Oil Marketing, Salum Busarara
akieleza jambo katika kikao hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...