Mgeni rasmi Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamini William Mkapa, akitoa neno kwa Wageni waalikwa kwenye Jioni ya Bwanjai, kabla ya kuzindua rasmi filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hiyo ya utalii ulifanyika, katika Ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi wa Jioni ya Bwanjai Rais Mstaafu Benjamini William Mkapa, akikabidhiwa filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' na Mrs Dorina Kilama tayari kwa ajili ya Uzinduzi huo, anayeshuhudia katikati ni Profesa Wenceslaus Kilama, uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Rais Mstaafu Benjamini William Mkapa, akikabidhi CD yenye filamu hiyo ' Nipeleke Nyakijoga ' ndugu Salum Salum ambae ni mwakilishi wa DSTV, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa kampuni hiyo ambayo ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa Usiku wa Bwanjai, Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waalikwa katika Uzinduzi wa filamu hiyo ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Kikundi cha Ngoma kutoka Kantare, Bwanjai kikitoa Burudani maridhawa wakati wa Uzinduzi wa filamu ya NshabaOntwale Nyakijoga ' Nipeleke Nyakijoga ' Uzinduzi wa filamu hii ya Utalii umefanyika Oktoba 21, 2016 katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa Social Centre, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.kwa hisani ya www.habari360.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...