Mkurugenzi na Mmiliki wa Ndauka Advert, Rose Ndauka akizungumza  leo katika uzinduzi  wa  Alama (Lebo) yake ya muziki inayoitwa Ndauka Music na kumtambulisha Msanii wake wa kizazi kipya, Kassimu Said a.k.a Casso  (kulia) leo jijini Dar es Salaam.
Msanii wa kizazi kipya, Kassimu Said a.k.a Casso, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi  wa  Alama (Lebo) ya muziki inayoitwa Ndauka Music leo jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...