Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu (kulia) akimkaribisha Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge (kulia) alipomtembelea ofisini kwake leo mjini Bukoba kujionea uharibifu wa miundombinu ya sekta ya maji iliyosathiriwa na tetemeko la ardhi.
Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Kagera Mhandisi Avitus Exavery akimuonesha Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge uharibifu wa tanki la maji la shule ya sekondari ya Ihungo uliosababishwa na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera mapema Septemba 2016.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Gerson Lwenge (wa nne kulia) akitembelea miundombinu ya maji iliyoharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera mapema Septemba 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...