Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dokta Binilith Mahenge akichoma mitego ambayo imekuwa ikitumiwa kuvua samaki katika ziwa nyasa.

-------------------------------------

Asilimia 80 ya wakazi wa wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma ,wanategemea uvuvi kuendesha maisha yao, huku baadhi yao wamekuwa wakitumia zana ambazo zimepigwa marufuku na serikali ambazo ni nyavu nchi moja na nusu hadi inchi mbili , vyandarua na mfumo wa uvuvi unaodaiwa kuwa ni wakienyeji uitwao gonga ambao uharibu mazalia ya samaki. Habari zaidi bonyeza lingi hiyo hapo chini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...