Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi ya ZSTC Kassim Maalim Suleiman akimkabidhi Cheti cha
utendaji kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la (ZSTC) Bi.
Mwanahija Almasi Ali katika sherehe iliyofanyika eneo tengefu Saateni
Mjini Zanzibar. (Katikati) Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika hilo Dkt.
Said Seif Mzee.
Mgeni rasmin aliekuwa Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Shirika la Biasha la Taifa Zanzibar (ZSTC)Bi. Mwanahija
Almasi Ali akizungumza na wafanyakazi na wageni waalikwa katika sherehe
aliyoandaliwa na wafanyakazi wa Shirika hilo.
Mgeni
rasmin (katikati) waliokaa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi
wa wa Shirika hilo.Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...