Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali mstafu Salim Kijuu akiishukuru Tume ya Ushindani (FCC) kwa kutoa msaada wa bandali 360 zenye jumla ya mabati 5,743 yenye thamani ya TZS 86.145m/- kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani humo ofisini kwa Mkuu wa Mkoa mjini Bukoba leo.
Kamishna wa Tume ya Ushindani (FCC)Bw. Fadhili Manongi akiongea machache kabla ya kukabidhi msaada huo wa mabati.
Tume ya Ushindani (FCC) leo akikabidhi msaada wa bandali 360 za mabati 5,743 zenye thamani ya TZS 86.145m/- kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Maj. Gen (Rtd) Salim Kijuu. Kamishna wa Tume Bw. Fadhili Manongi (kulia) alikabidhi kwa niaba ya Tume ofisini kwa Mkuu wa Mkoa, mjini Bukoba leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...