Uharibifu Mkubwa wa Mazingira katika Vyanzo Vya maji. Pichani ni kilimo cha miwa katika mto katika kijiji cha Limba, Sumbawanga. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba ameagiza watu hao kuondelewa mara moja.

Wakazi wa Manispaa ya Sumbawanga wamevamia chanzo cha maji cha Mto Lwiche, na kujihusisha na shughuli za kilimo pamoja na upandaji wa miti ya mikaratusi inayonyonya maji, chanzo hicho ni miongoni mwa Vyanza vya maji vilivyopo hatarini kutoweka.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba akiagiza watu kuondolewa kwa wavamizi wa vyanzo vya maji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...