Afisa habari wa Simba SC Haji Sunday Manara akikimbilia upande wanaokaa mashabiki wao kujaribu kutuliza jazba zilizopelekea kung'olewa kwa viti na kutupwa uwanjani baada ya Yanga kupata bao
Afisa habari wa Simba SC Haji Sunday Manara akijaribu bila mafanikio kutuliza jazba za mashabiki wa timu yake waliokuja juu baada ya Yanga kupata bao na wao kupinga kwa kuwa mfungaji alinawa.
Mshabiki akipiga mateke viti vilivyorushwa uwanjani kwa jazba
Askari polisi akiangalia wakati mshabiki wa Simba SC akijaribu kumtuliza mwenzie mwenye jazba.
Am not a soccer fan but this illustrates babarism. Respective Clubs need to be penalized and pay for all the repears.
ReplyDelete