Mkuu wa wilaya ya Kindondoni Mh Aly Hapi akikagua na kujionea bidhaa za mjasiliamali aliyewezeshwa na Airtel FURSA Bi Betty Mngulwi mwisho mwa wiki ambapo Airtel iliwakutanisha baadhi ya wajasiliamali jijini Dar es salaam katika maonyesho maalum ya ‘Airtel FURSA Wajasiliamali Bazaar’ nje ya ofisi kuu ya Airtel Morocco kwa lengo la kuwakutanisha wajasiliamali hao na wateja mbalimbali ili kuwatanua masoko yao na kuuza bidhaa zao. pamoja nae ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano wakwanza kulia.
Mkuu wa wilaya ya Kindondoni Mh Ally Hapi akiangalia picha ya mapambo ya Afrika dansi iliyochorwa na mjasiliamali aliyewezeshwa na Airtel FURSA Bi Theresia Mariatabu wakati alipotembelea banda la mjasiliamali huyo katika maonyesho ya ‘Airtel FURSA Wajasiliamali Bazaar’ nje ya ofisi kuu ya Airtel Morocco yaliyoandaliwa na Airtel kwa lengo la kuwakutanisha wajasiliamali hao na wateja wa airtel ili kuwatanua masoko yao na kuuza bidhaa zao. pamoja nae ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi Beatrice Singano na mkurugenzi Rasilimali watu wa Airtel Bw, Patrick Foya kulia.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Bi Beatrice Singano Mallya akizungumza katika hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...