Mtagazaji wa BBC Swahili Zuhra Yunus (kushoto) akifanya mahojiano na mkazi wa DMV Asha Hariz Siku ya Jumanne Novemba 8, 2016 ya uchaguzi wa rais wa Marekani katika mgahawa wa Swahili Village.
 Kulia ni Mtangazaji wa luniga wa Azam Tv Charles Hillary akifanya mahojiano na Iddi Ligongo (kushoto) na Mzee Boaz siku ya Jumanne Novemba 8, 2016 ya uchaguzi wa rais wa Marekani katika mgahawa wa Swahili Village.
Kutoka kushoto ni Nambai mkazi wa DMV akifanyiwa mahojiano na mtangazaji wa siku nyingi ambaye kwa sasa yupo Azam TV Charles Hillary (kulia) siku ya Jumanne Novemba 8, 2016 ya uchaguzi wa rais wa Marekani katika Studio za Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland, Kati ni Mtagazaji aliyobobea na maswala ua utangazaji na DMV Mubelwa Bandio.
 aliyobobea na maswala ua utangazaji na DMV Mubelwa Bandio.
 Kushoto ni Mashaka akipata picha na John Mbele
 kushoto ni Dotto Haruba mkazi wa DMV Alawi akifanyiwa mahojiano na mtangazaji wa siku nyingi ambaye kwa sasa yupo Azam TV Charles Hillary (kulia) siku ya Jumanne Novemba 8, 2016 ya uchaguzi wa rais wa Marekani katika Studio za Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland, Kati ni Mtagazaji aliyobobea na maswala ua utangazaji na DMV Mubelwa Bandio.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...