Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic na Baltic, Mhe. Dora Msechu amezindua harambee ya kuchangia  wahanga wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera kwenye Hafla iliyofanyika Stockholm, Sweden. 
Hafla hiyo iliandaliwa na Jumuiya ya Watanzania  Sweden kwa lengo la kuhamasisha Watanzania waishio Sweden kuchangia wahanga wa maafa hayo. Zoezi hili maalum la uchangiaji linendelea mpaka tarehe 4 Novemba, 2016  na litahitimishwa kwa michango hiyo kukabidhiwa kwa Mhe. Balozi Dora Msechu.
 Mhe. Balozi Dora Msechu akikata utepe kuzindua zoezi la uchangiaji wahanga
 Mhe. Balozi Dora Msechu akiongeas kwenye hafla hiyo. Kulia ni  Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania ya Mji wa Malmo  ambaye aliwasilisha salamu za Matanzania wa Malmo
 sehemu ya washiriki wa Hafla hiyo

Mwanadiaspora Mbarouk Rashid akikabidhi mchango wa vifaa

Kocha Mkuu wa FC Kilimanjaro, Humphrey Kalanje akizungumza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...