Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Clifford Tandari (kulia) akifurahi jambo na Balozi wa Australia mwenye makazi yake Jijini Nairobi, Nchini Kenya, John Feakes aliemtembelea ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo, ambapo walizungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania.
Balozi wa Australia mwenye makazi yake Jijini Nairobi, Nchini Kenya, John Feakes (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Clifford Tandari (kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na Meneja Uhusiano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania, Pendo Gondwe pamoja na Afisa Mwandamizi wa Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, George Mkono.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...