Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima akizungumza na Balozi wa Israel nchini mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Yahel Vilan ambaye alitembelea Wizarani leo. Mazungumzo yao yalijikita katika masuala ya ushirikiano wa kidiplomasia katika maeneo mbalimbali yakiwemo miradi ya maendendeleo hususan katika sekta za afya,elimu, biashara, kilimo na Ulinzi. 
Mhe. Vilan akizungumza ambapo alieleza kuwa Israel itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kuhakikisha kuwa inatekeleza azma ya kuwaletea maendeleo wananchi wake. 
Wakiwa katika picha ya pamoja. 
Mazungumzo yakiendelea. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...