Meneja wa Bank ya NMB kanda ya kusini Bi Lilian Mwinula akikabidhi vitanda tisa ,magodoro tisa kwa mkuu wa wilaya ya tunduru Juma Homera kwa ajili ya wagonjwa wanaolazwa hospital ya Wilaya ya Tunduru.
--------------------------------
Bank ya NMB tawi la
TUNDURU mkoani RUVUMA imekabidhi msaada wa vitanda 9 na magodoro 9 katika
hospital ya wilaya ya tunduru pamoja na madawati 50 katika shule ya msingi
majengo iliyopo mjini tunduru vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni kumi,
ikiwa ni shemu ya bank hiyo kurejesha kiasi cha faida inayopata kwa jamii kusaidia
huduma mbali mbali za kijamii ikiwemo afya na elimu.
Mkuu wa wilaya ya Tunduru Juma homera aliyeshika mikono kwa mbele akiongea na mmoja kati ya wagonjwa waliolazwa katika hospital ya wilaya ya tunduru.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Msingi Majengo wakiwa wamekaa katika madawati ambayo yametolewa na bank ya NMB tawi la TUNDURU lilipo wilayani humo.
KWA HABARIZAIDI HII HAPA ANGALIA RUVUMA TV on line.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...