Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe amezindua Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) jijini Dar es Salaam
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe akielezea majukumu ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) kwenye uzinduzi huo.
 Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) wakisikiliza Hotuba iliyokuwa inatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (hayupo pichani).
Kutoka kushoto Kaimu Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Ally Samaje, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania. (TMAA), Mhandisi Dominic Rwekaza pamoja na Watendaji wengine kutoka Wakala huo, wakisikiliza maelekezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (hayupo pichani).
 Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Charles Sabuni akieleza jambo katika uzinduzi huo.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Profesa James Mdoe (kulia) akimkabidhi mwongozo Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Charles Sabuni (kushoto) mara baada ya kuzindua Bodi hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...