DC Deo Ndejembi, leo ameshiriki pamoja na viongozi wa Kata ya Hogoro akiwemo Mhe Diwani Mgata na serikali ya kijiji cha Hogoro katika kuanza ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Hogoro. 

Hogoro ni kijiji ambacho DC Ndejembi alibaini ufisadi katika ujenzi wa madarasa, ambapo Mwenyekiti wa Kijiji alikuwa ametafuna kiasi cha shilingi milioni sita za ujenzi. 

Leo DC amefika na kuhamasisha ujenzi ufanywe kwa nguvu za wananchi. Kongwa ina upungufu wa takribani madarasa 231 na wilaya imeweka mkakati wa kumaliza upungufu huo.
 DC Deo Ndejembi,akiweka tofali kwenye msingi ikiwa ni sehemu ya ushiriki wake wa ujenzi akishirikiana pamoja na viongozi wa Kata ya Hogoro akiwemo Mhe Diwani Mgata na serekali ya kijiji cha Hogoro katika kuanza ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Hogoro. Wilaya ya Kongwa ina upungufu wa takribani madarasa 231 na wilaya imeweka mkakati wa kumaliza upungufu huo.
 DC Deo Ndejembi,akishriki kuchimba msingi ikiwa ni sehemu ya ushiriki wake wa ujenzi akishirikiana pamoja na viongozi wa Kata ya Hogoro akiwemo Mhe Diwani Mgata na serekali ya kijiji cha Hogoro katika kuanza ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Hogoro. Wilaya ya Kongwa ina upungufu wa takribani madarasa 231 na wilaya imeweka mkakati wa kumaliza upungufu huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...