Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akifungua Kikao Kazi kilichowakutanisha Wataalam wa masuala ya takwimu ambao ni Wawakilishi kutoka nchi 24 Barani Afrika kujadili juu ya njia bora na mahususi katika kulisaidia Bara la Afrika katika utoaji bora wa takwimu.
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa pamoja na Wataalam wa masuala ya takwimu ambao ni Wawakilishi kutoka nchi 24 Barani Afrika wakijadiliana masuala muhimu kuhusu namna bora ya kulisaidia Bara la Afrika katika utoaji bora wa takwimu.
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (aliyevaa gauni jekundu) pamoja na Wataalam wa masuala ya takwimu ambao ni Wawakilishi kutoka nchi 24 Barani Afrika wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa Kikao Kazi kuhusu namna bora ya kulisaidia Bara la Afrika katika utoaji bora wa takwimu. PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...