Hayati Freddy Supreme Ndala Kasheba enzi za uhai wake akitumbuiza maelfu kwa gitaa lake la nyuzi dazani kwenye onesho lililofanyika Bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam akiwa na Orchestra Safari Sound (OSS) "Wana Dukuduku" mwaka 1980.
Angekuwa hai nguli huyu wa muziki leo angekuwa ametimiza umri wa miaka 70 na siku 34. Lakini pamoja na hayo muziki wake bado ungali unapendwa miaka 12 baada ya kifo chake. 
Globu ya Jamii, ambayo alikuwa akiipa ushirikiano mkubwa wakati wote inampigia saluti Maestro Ndala Kasheba kwa kukumbusha habari zake mbalimbali tulizowahi kutoa. Kuzipitia BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...