Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mh. Amos Makalla ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za wiki ya nenda kwa usalama akipokea maelekezo kutoka kwa Meneja wa Kampuni ya Fleet Track, Bwana Taufiq, Fleet Track ni Kampuni inayo jishughulisha na Uuzaji wa Vifaa vya kisasa vitumikavyo kwenye vyombo mbalimbali ikiwemo Magari, Ndege, Pikipiki pia hata nyumbani ambavyo husaidia kwa kiasi kikubwa kuweka ulinzi na usalama wa chombo chako chochote na mahali popote kwa kutumia GPS Sattelite moja kwa moja, 

Pia vifaa hivyo vya kisasa Hukupatia matokeo halisi ya kifaa au chombo chako kwa kukuonyesha moja kwa moja kupitia simu ya mkononi au kompyuta, Kwenye vyombo vya usafili pia kazi ni hiyo hiyo kukupatia matokeo ya picha na sauti kwenye gari lako au chombo chochote cha usafiri pia, Kifaa hicho kinakupa uhuru wa mmiliki wa gari kuzioma gari lako popote duniani ikiwa Dereva anaendesha kinyume na utaratibu, Kipimo cha Spidi, Kujuwa matumizi ya Mafuta, Dereva ameanza safari muda gani na anaendesha au anakudanganya inakupa taarifa, gari ikiama njia alama inakujuza, Epuka kukamatwa na tochi kwani inarekodi mwendo kasi wa gari, Kuweka ulinzi kwenye gari yako mtu mwengine yoyote asiliwashe bila idhini yako,na Vitu vingine vingi kwa vyombo vya usafiri na Pia Kampuni ya Fleet Track imefunga mitambo ya vifaa hivi kwenye magari mengi ya miziogo, mabasi ya mikoani na magari mengi nchini, Imefanikiwa kukamata magari manne yaliyo ibiwa yakiwa yamefungwa vyombo hivyo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nao kwa mawasiliano yafuatyayo.

Magore Street, P.O.Box 2115, Dar es salaam, Tanzania.
Mobile:+255 784 911 786 Hotline:+255 774 786 911
taufiq@fleettracktz.com,  www.fleettracktz.com.
Mkuu wa mkoa wa mbeya mh.Amos Makalla akishuhudia kwa vitendo utendaji kazi wa vifaa hivyo kutoka katika kampuni ya Fleet Track Tanzania wanao patikana Jijini Dar es salaam.

Picha ya pamoja ya watendaji wa kampuni hiyo ya Fleet Track Ikiongozwa na Meneja Taufiq (katikati).


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...