Naibu Waziri wa afya Maendeleo ya jamii,jinsia,wazee
na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangala wa pili kushoto akipokea msaada wa vitanda 50
kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya
Merck ya Afrika ya Kusini Stefan Maron (wa tatu kushoto) kwa ajili ya hospitali na vituo vya afya
nchini wakati wa kukabidhiwa Vitanda hivyo, magodoro 50 na vyandarua 100.
Naibu Waziri wa afya Maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangala wa pili kushoto akipokea Msaada wa vitanda 50 kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Merck ya Afrika ya Kusini Stefan Maron (wa tatu kushoto) kwa ajili ya hospitali na vituo vya afya nchini wakati wa kukabidhiwa Vitanda hivyo, magodoro 50 na vyandarua 100.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...