Meneja Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Philippe Corsaletti akiwaonesha wanahabari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo, Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambamo Mashindano ya Ndege 22 za zamani 'Vintage Air Rally' zilizotengezwa kati ya mwaka 1920 na 1930 zitatua na kutangaza utalii pamoja na kukusanya fedha za misaada kwa jamii. Kulia ni Meneja Rasirimali Watu wa kampuni hiyo, Loveness Hoyange,Mkuu wa Mauzo na Masoko wa Mafuta ya ndege,Andrew Lauwo na kushoto ni 

Mkuu wa Idara ya Mafuta ya Ndege wa kampuni hiyo, Raymond Tungaraza
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Philippe Corsaletti akiwaonesha wanahabari (hawapo pichani) jijini Dar leo, moja ya picha ya ndege 22 za zamani zitakazotua nchini Novemba 28, mwaka huu, kwa mashindano ya 'Vintage Air Rally' yenye lengo la kutangaza utalii. Ndege hizo zilitengenezwa kati ya mwaka 1920 na 1930.

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Philippe Corsaletti akifafanua moja ya swali lililoulizwa na mmoja Wanahabari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo, namna ndege hizo za kizamani zitakavyoweza kutumika katika mashindano hayo ya 'Vintage Air Rally' yenye lengo la kutangaza utalii. Ndege hizo zilitengenezwa kati ya mwaka 1920 na 1930.

Mkuu wa Idara ya Mafuta ya Ndege wa kampuni hiyo, Raymond Tungaraza.akijibu maswali ya wanahabari

Baadhi ya Wanahabari wakifuatilia yaliyokuwa yakizungumzwa kwenye mkutano huo kuhusiana na mashindano hayo adhimu .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...