Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa  Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh Solank alipomtembelea Ofisi za Bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
 
 Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akizungumza na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment walipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam.
 
 Baadhi ya watendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment wakimskiliza Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo Bibi. Joyce Fissoo (hayupo pichani) alipotembelewa na wawakilishi hao kutoka Setps leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh Solank akisaini kitabu cha wageni alipotembelea ofisi za Bodi ya Filamu Tanzania leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto aliyekaa ni Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo Bibi. Joyce Fissoo na wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Steps Entertainment Cloud Ngalaba na Mkuu wa Uzalishaji Bw. Carlos John.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...