Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi.
Joyce Fissoo akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh Solank alipomtembelea
Ofisi za Bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi.
Joyce Fissoo akizungumza na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu
ya Steps Entertainment
walipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania
na wawakilishi kutoka Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment
wakimskiliza Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo Bibi. Joyce Fissoo (hayupo pichani) alipotembelewa
na wawakilishi hao kutoka Setps leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya usambazaji wa Filamu ya Steps Entertainment Bw. Dilesh
Solank akisaini kitabu cha wageni alipotembelea ofisi za Bodi ya Filamu
Tanzania leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto aliyekaa ni Katibu Mtendaji wa Bodi
hiyo Bibi. Joyce Fissoo na wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Steps Entertainment
Cloud Ngalaba na Mkuu wa Uzalishaji Bw. Carlos John.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...