Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (katikati) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Idara mbali mbali za Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi leo katika kikao kilichohusu masuala ya utendaji wa kazi za kila siku katika ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani
Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (katikati) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Idara mbali mbali za Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika kikao kilichozungumzia masuala ya utendaji wa kazi za kila siku kilichofanyika leo katika ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani,[Picha na Ikulu.] 17/11/2016.
Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Nd,Hassan Khatibu Hassan akitoa mchango wake wakati wa kikao cha siku moja kilichozungumzia masuala ya uwajibikaji katika kazi za kila siku chini ya Mwenyekiti wake Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (hayupo pichani),kilichofanyika leo ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani,(kushoto) Mkurugenzi Mipango wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Nd,Mwadini Haji .
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...