Leo ukiwa unatimiza miaka 10 tangu ututoke machoni mwetu, tunanaendelea kusema tunakupenda zaidi tukikumbuka na kuitafakari historia ya maisha yako ambayo kwa hakika Mungu alituzawadia kwa upendo. Bwana alitoa na kutwaa tena jina lake libarikiwe!
Kutakuwa na Misa ya Kumuombea Marehemu Mama yetu mpendwa, Siku ya Jumapili Novemba 27, katika Kanisa la St Martha, Mikocheni B Jijini Dar es salaam, Kuanzia Saa tatu asubuhi. Karibuni sana tumuombee Mama yetu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...