Marehemu Mama  Lydia Mkufya Stephen

Leo tarehe 18/11/2016 ni miaka minane tangu umetwaliwa.
Tunakukumbuka sana na kuna wakati tunahisi kabisa hapa ungelikuwepo ungetupa ushauri na kadhalika.
Tunakushukuru sana kwa malezi yako kwani yale uliyotuasa tunayafanya na kuona faida yake .
Tunaamini uko na sisi kiroho na kuna siku moja tutaonana.
Tunazidi kumwomba Mungu aendelee kututunza hasa baba yetu ili maisha ya sisi tuliobakia yaendelee.
Unakumbukwa na mumeo, wanao, wakwe, wajukuu ,wadogo zako, marafiki na majirani wote.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa
jina lake lihidimiwe
Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...