Marehemu Mama Lydia Mkufya Stephen
Leo tarehe 18/11/2016 ni miaka minane tangu umetwaliwa.
Tunakukumbuka sana na kuna wakati tunahisi kabisa hapa
ungelikuwepo ungetupa ushauri na kadhalika.
Tunakushukuru sana kwa malezi yako kwani yale uliyotuasa
tunayafanya na kuona faida yake .
Tunaamini uko na sisi kiroho na kuna siku moja tutaonana.
Tunazidi kumwomba Mungu aendelee kututunza hasa baba yetu ili
maisha ya sisi tuliobakia yaendelee.
Unakumbukwa na mumeo, wanao, wakwe, wajukuu ,wadogo zako,
marafiki na majirani wote.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa
jina lake
lihidimiwe
Amina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...