Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akipokea mfano wa hundi ya dola za Kimarekani 33,000  kutoka kwa balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Al-Najem zikiwa ni mchango wa nchi hiyo kwa waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma November 9, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...