Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (katikati )akiwa na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam”Yenye kauli mbiu ya maadhimisho hayo ilikuwa Hatutaki ajali tunataka Kuishi” zilizofanyika kwenye viwanja vya Mwembe yanga jana kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Elifadhili Mgonja(Kushoto) akimpongeza Mkuu wa kitengo cha Usalama wa Afya na Mazingira wa Vodacom Tanzania,Karen Lwakatare(kulia)kwa mchango mkubwa uliofanywa na kampuni yake katika kuadhimisha wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam,”Yenye kauli mbiu ya maadhimisho hayo ilikuwa Hatutaki ajali tunataka Kuishi” zilizofanyika kwenye viwanja vya Mwembe yanga jana kwa Udhamini wa Vodacom Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...