Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akifungua mafunzo hayo kwa Watumishi wa TPA na TRA yanayohusu matumizi ya ‘scanner’ mpya iliyofungwa katika Bandari ya Dar es Salaam.
 Baadhi ya Watumishi wa TPA ambao watahusika na usimamizi wa matumizi ya ‘scanner’ mpya wakati wa ukaguzi wa mizigo ya kontena katika Bandari ya Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akisisitiza jambo kwa washiriki wa mafunzo ambapo aliwasisitiza kuzingatia uzalendo wakati watakapokuwa wanaendesha scanner mpya iliyofungwa katika bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Fredy Liundi, Kaimu Mkurugenzi wa Utumishi, Bw. Erasmo Mbilinyi na Kaimu Mkurugenzi wa Tehama, Bw. Abdulrahman Mbamba (kulia).
 Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deudedit Kakoko akifurahia jambo na Meneja Mafunzo kutoka Kampuni ya Nuctech ya Jamhuri ya Watu wa China, Bw. Lan Yuming mara baada ya kuzindua mafunzo kwa Maafisa wa TPA na TRA hivi karibuni. Katikati ni Meneja Mradi kutoka Kampuni ya Nuctech Bw. Zhang Sheng.
Jengo jipya ambalo limejengwa kwa ajili ya matumizi ya scanner mpya iliyofungwa katika bandari ya Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...