Alhamdullilah  Siku ya Ijumaa Tarehe 11/11/2016 tumekamilisha kwa sehemu kubwa Uzio wetu wa kulia upande wa kuchukua Udhu Kina Mama. Mungu akipenda litakalo fuata ni kuendeleza Ukuta wa Uzio Mbele ya Mihrab (Kibla ya Msikiti kama inavyo kuonyesha Picha 👇) .

Cement Imebaki mifuko Miwili .
Bajeti ya Ukuta huu wa Kibla ni kama ifuatavyo .
Cement Mifuko 50 @ 1 , 12000×50= 600,000/=
Lori kubwa la Mchanga Mende 300,000.
Nondo 15, @ 15500×15 = 232500.
Gharama za Kukodi Mbao 50,000
Jumla 1,182,500/=
Tafadhali  Toa Sadakatul Jaalia kwa Kumtolea Mzazi wako Ndugu yako na Allah atakupa zaidi .
Toa chochote ulicho nacho na huto jutia kwa ulicho kitoa duniani na kesho akhera . Tunapokea Vifaa .
Waweza wasilisha sadaka yako kupitia TIGO-PESA No 0715800772.
Na Mratibu Msimamizi , GHALIB N MONERO.




 Dua ya shukran kwa kukamilisha kwa sehemu kubwa Uzio  wa kulia upande wa kuchukua Udhu Kina Mama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...