Usikose kufuatilia mahubiri na mafundisho ya Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola (kulia), kwenye runinga ya STAR RELIGION kupitia king'amuzi cha CONTINENTAL. Ni kila jumapili saa moja jioni hadi saa mbili usiku na jumanne saa tina na nusu alasiri hadi saa kumi na nusu jioni kupitia kipindi cha Mlipuko wa Injili.
Na BMG
Maandalizi ya kipindi cha Mlipuko wa Injili yakiendelea ambapo kulia ni Mchungaji Dkt.Daniel Kulola na kushoto ni mwongozaji George Binagi
Kipindi hiki hukuletea mahubiri na mafundisho ya neno la Mungu yenye mwanga bora katika maisha yako
Ungana nasi kila jumapili saa moja jioni hadi saa mbili usiku na jumanne saa tina na nusu alasiri hadi saa kumi na nusu jioni kupitia kipindi cha Mlipuko wa Injili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...