Pilika pilika za Libeneke lako pendwa katika kuangazia maeneo mbalimbali ya mji mkuu Dodoma, ilifurahishwa na uvaaji na uzingatiaji wa kofia ngumu yaani "Helmet" , ambapo madereva na abiria wengi wa vipando mbalimbali ikiwemo pikipiki na vyombo vinginevyo. Juu ni dereva sanjari na msaidizi wake wote wakiwa wamevaa kofia zao kujikinga kuepukana na kujipa tahadhari kabla ya Ajali
Pichani ni Dereva wa Bodaboda akiwa na abiria wake wakikatiza baadhi ya mitaa mjini Dodoma huku juu wakiwa wamevalia "Helmet" wote wawili kwenye kipando hicho.
Bodaboda wa Dodoma safi sanaa kwa kuzingatia sheria ya uvaaji "Helment"
Mambo safi Dodoma Mikoa mingine tuige hii kwa usalama wetu wenyewe.
PICHA NA MR.PENGO WA MMG
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...