Pilika pilika za Libeneke lako pendwa katika kuangazia maeneo mbalimbali ya mji mkuu Dodoma, ilifurahishwa na  uvaaji na uzingatiaji wa kofia ngumu yaani "Helmet" , ambapo madereva na abiria wengi wa vipando mbalimbali ikiwemo pikipiki na vyombo vinginevyo. Juu ni dereva sanjari na msaidizi wake wote wakiwa wamevaa kofia zao kujikinga kuepukana na kujipa tahadhari kabla ya Ajali
Pichani ni Dereva wa  Bodaboda akiwa na abiria wake wakikatiza baadhi ya mitaa mjini Dodoma huku juu wakiwa wamevalia "Helmet" wote wawili kwenye kipando hicho.
Bodaboda wa Dodoma safi sanaa kwa kuzingatia sheria ya uvaaji "Helment"
Mambo safi Dodoma Mikoa mingine tuige hii kwa usalama wetu wenyewe.
PICHA NA MR.PENGO  WA MMG

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...