Rais Mteule wa Marekani, Donard Trump akiwahutubia wananchi wa Marekani muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa kiti hicho, mapema leo. Trump anakuwa Rais wa 45 wa nchi hiyo akitokea chama cha Republican. Kulia kwake ni aliekuwa mgombea mwenza wake, Mike Pence na kushoto kwake ni Mtoto wake, Barron Trump.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...